Moja kati ya vitu ambavyo vinateka nyoyo za wadada wengi ..kwa karne hii ya sasa ni denim shirts (shati lenye muonekano wa jinzi) ...hasa ukiipatia kuivalia na accessories zenye mvuto..kama mrembo huyu ..
Kiukweli amenoga√√
This blog is all about ladies , who need to try new look in clothes, accesories, shoes, and make ups.
Wednesday, October 7, 2015
UNAWEZA KUTOKA HIVI??
Friday, October 2, 2015
Kimya kingi
SABABU YA KUWA KIMYA
Natumai umzima wa afya ewe msomaji wa safu hii ya urembo ,naomba niombe radhi kwa ukimya wa mda mrefu ulio weza kufanya kazi na nguvu ya kuendesha safu hii kupunguza ufanyaji kasi yake ya kazi , yote ni kutokana na kuomboleza msiba wa baba yangu kipenzi uliotokea 9/2/2015 ..
Kwasababu yote ni kazi Ya mungu hivyo sina budi kumshukuru kwa kila jambo na kumuomba nguvu Mpya ya kunifanya Mimi kuweza kushiriki vyema katika safu hii ..KARIBU....
Subscribe to:
Posts (Atom)