Wednesday, October 7, 2015

UNAWEZA KUTOKA HIVI??

Moja kati ya vitu ambavyo vinateka nyoyo za wadada wengi ..kwa karne hii ya sasa ni denim shirts (shati lenye muonekano wa jinzi) ...hasa ukiipatia kuivalia na accessories zenye mvuto..kama mrembo huyu ..
Kiukweli amenoga√√

Friday, October 2, 2015

Kimya kingi

SABABU YA KUWA KIMYA

Natumai umzima wa afya ewe msomaji wa safu hii ya urembo ,naomba niombe radhi kwa ukimya wa mda mrefu ulio weza kufanya kazi na nguvu ya kuendesha safu hii kupunguza ufanyaji kasi yake ya kazi , yote ni kutokana na kuomboleza msiba wa baba yangu kipenzi uliotokea 9/2/2015 ..
  Kwasababu yote ni kazi Ya mungu hivyo sina budi kumshukuru kwa kila jambo na kumuomba nguvu Mpya ya kunifanya Mimi kuweza kushiriki vyema katika safu hii ..KARIBU....