SABABU YA KUWA KIMYA
Natumai umzima wa afya ewe msomaji wa safu hii ya urembo ,naomba niombe radhi kwa ukimya wa mda mrefu ulio weza kufanya kazi na nguvu ya kuendesha safu hii kupunguza ufanyaji kasi yake ya kazi , yote ni kutokana na kuomboleza msiba wa baba yangu kipenzi uliotokea 9/2/2015 ..
Kwasababu yote ni kazi Ya mungu hivyo sina budi kumshukuru kwa kila jambo na kumuomba nguvu Mpya ya kunifanya Mimi kuweza kushiriki vyema katika safu hii ..KARIBU....
This comment has been removed by the author.
ReplyDeletePole sana mama, yote kazi ya Mungu.
ReplyDeleteAhsante sana ..nashukuru
ReplyDelete