Sitti Abbas Mtemvu huyu ni mrembo kutoka wilaya ya Temeke,
Mrembo huyo ambae baba yake ni
mbunge wa Temeke Mh. Abass Mtemvu , ameweza kutwaa taji la Redd's Miss Tanzania 2014.
Mashindano hayo ambayo yalifanyika ukumbi wa mlimani city jijini Dar es salaam hapo Jana.
Kutokana na ushindi huo ameweza kuondoka na kiasi cha pesa taslim milioni 18 huku akifuatiwa na mshindi
wa pili ambae aliondoka na kiasi cha pesa taslim million sita.
Mrembo huyu anakibarua kikali cha kuiwakilisha Tanzania katika kuwania miss world 2015
No comments:
Post a Comment