Sunday, October 12, 2014

REDD'S MISS TANZANIA 2014

Sitti Abbas Mtemvu huyu  ni  mrembo  kutoka  wilaya  ya  Temeke,  
 Mrembo huyo  ambae  baba  yake ni  
mbunge  wa  Temeke  Mh. Abass Mtemvu ,  ameweza  kutwaa  taji  la  Redd's Miss Tanzania  2014.
Mashindano  hayo  ambayo  yalifanyika  ukumbi  wa  mlimani city  jijini  Dar es salaam  hapo  Jana.
Kutokana  na  ushindi  huo  ameweza  kuondoka  na  kiasi  cha  pesa  taslim  milioni  18  huku  akifuatiwa  na  mshindi    
wa  pili  ambae  aliondoka  na  kiasi  cha pesa  taslim  million   sita.
Mrembo  huyu  anakibarua  kikali  cha kuiwakilisha  Tanzania  katika   kuwania  miss world 2015  



No comments:

Post a Comment